Chama hicho kimemfungia mchezaji huyo ambae alikuwa na mkataba wa miaka 5 kwa dolla milioni 40 tangu mwaka 2012.
Mchumba wake huyo ambae ni mkewe kwa sasa amemtetea mume wake na
kuvilaumu vyombo vya habari juu ya maumivu waliyomsabibishia yeye pamoja
na familia yake na kuwakumbusha moment katika maisha yao ambayo
wanaijutia kila siku kuwa nikitu kibaya na kuendelea kusema kumnyang'aya
mwanaume nnayempenda kitu ambacho amekifanyia kazi miaka yake yote ili
ti kupata rating ni mbaya sana
kupitia instagram page yake hiki ndicho alichokiandika
0 comments:
Post a Comment