Search This Blog

Tuesday, September 23, 2014

Exclusive: Safari za Treni Tanzania kuongezeka.

Screen Shot 2014-09-23 at 9.43.10 AMDr. Harryson Mwakyembe ni miongoni mwa Mawaziri ambao wanazungumziwa sana na vijana pamoja na Watanzania wengine kwenye marika mbalimbali kutokana na jinsi anavyochapa mzigo ndio maana sio ajabu hata kumsikia akitajwa kwenye nyimbo za Wakali wa bongofleva.
Kwenye Exclusive na millardayo.com Waziri Mwakyembe amethibitisha kwamba itafikia time Tanzania usafiri wa Treni utakua bora na wengi watakimbilia huko kutokana na mabadiliko yanayofanyika.
Anasema ‘Usafiri wa Treni umeanza kuimarika na baada ya muda sio mrefu tutaanza kufanya safari nne au tano kwenda Kigoma na Mwanza, watu watapanda Treni

0 comments:

Post a Comment