Kipande
hicho cha video chenye dakika 6 kilionekana kwenye background wakati
wawili hao wakiimba hit song zao "Young Forever" na "Halo" wakionekana
katika sehemu mbali mbali waki-enjoy wakati wa mapunziko, wakiwa kwenye
boat na ku -share champagne.
Video
ya siku ya harusi yao(2008) ambayo haijawahi kuonekana imechanganywa
katika mix ya video hizo pia video ya wawili hao wakichora tattoo
zinanofanana kwenye vidole vyao
Video
hiyo iliendelea kuonyesha video ya karibu ya ujauzito wa Beyonce akiwa
mtupu mbele ya Jay Z huku Jay akiwa amekunja mikono yake mbele ya tumbo
la Bey.hata kuna vipande vya hospitali vinavyomuonyesha Bey akiwa
amempakata mtoto wake dakika kadhaa baada ya kujifungua.
Akiongezea
juu ya tetesi zinazoendelea, Jay alibadilisha mashairi ya wimbo wake
Beach Is Better, kutoka "I replace it with another one" na kuwa "Cause
she is pregnant with another one" wakati huo huo sio Bey wala Jay
wamethibitisha kuwepo kwa ujauzito wa mtoto wa pili.
Wawili hao walimaliza tour yao na show mbili za Paris zilizokuwa sold out.
USIPITWE NA HABARI MBALIMBALI ZIKIWEMO ZA SIASA NA NYINGINE NYINGI NI HAPAHAPA WWW.MAXWELLPAIN.BLOGSPOT.COM ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG PENDWA
0 comments:
Post a Comment