Search This Blog

Wednesday, September 24, 2014

SWANSEA YAIFUMUA EVERTON 3-0 KOMBE LA LIGI

Mholanzi Marvin Emnes akipongezwa na Jonjo Shelvey baada ya kuifungia Swansea bao la tatu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Everton katika Kombe la Ligi England, maarufu kama Capital One Cup jana usiku. Mabao mengine ya swansea yalifungwa na Nathan Dyer na Gylfi Sigurdsson.

0 comments:

Post a Comment