Search This Blog

Friday, September 19, 2014

Neno la Davido kwa Wizkid na P Square kuhusu albam zao

Neno la Davido kwa Wizkid na P Square kuhusu albam zao
Mwimbaji wa Nigeria Davido, ametumia akaunti yake ya Twitter kuufikisha ujumbe wake kwa wasanii wenzake Wizkid na
P Square kuhusu albam zao.
Davido amewapongeza wasanii hao ambao albam zao zinafanya vizuri sana kwenye iTunes hivi sasa, Wizkid (AYO) na P Square (Double Trouble).

0 comments:

Post a Comment