Search This Blog

Tuesday, September 23, 2014

Mr T Touchez Azungumzia Za Dharau Kwa Baadhi Ya Wasanii Wa Bongo Fleva.

Mr T TouchezMtayarishaji muziki anayefanya vizuri katika sanaa ya muziki wa kizazi kipya Tanzania, Mr T Touchez amezungumzia suala zima la dharau kwa baadhi ya wasanii katika gemu ya muziki na kusema kuwa tabia hii ipo sana ingawa kwa yeye binafsi haimuathiri.
Mr T Touchez ambaye sasa anafanya kazi chini ya Studio mpya za Freenation amesema kuwa, tabia hii ya dharau si tu kwa ‘industry’ ya muziki, bali hata nje ya sanaa hiyo, na kwa sehemu kubwa ni tabia ya ndani ya mtu ambayo haisababishwi na sanaa, isipokuwa malezi.

0 comments:

Post a Comment