Msanii kutoka Senegal anayeishi Marekani Akon amepata nafasi ya kutembelea State House ya Kenya na kukutana na raisa wa Kenya Uhuru
Kenyata. Inasemekana Akon bado anashikilia wazo lake la kuboresha
maisha ya watu wanaoishi kwenye makazi duni huko Kibera Nairobi. Mpango
wa Akon ni kutoa huduma ya umeme kwa wakazi wa eneo hilo lote ndani ya
mwaka mmoja.
Friday, September 19, 2014
Home »
Maxwellpain.blogspot.com
» Picha,Msanii Akon Alivyokutana Na Rais Uhuru Kenyatta
0 comments:
Post a Comment