Kupitia
singo zake za Majanga,Nimevurugwa na Ushaharibu zimefanya Tanzania na
nje ya Tanzania kumfahamu Snura ambaye
style ya muziki wake na namna
ambavyo anaperfoam on stage imemfanya kuwa na mashabiki wengi.
Mezani kwa Soudy Brown kuna stori ambazo zimesambaa kuwa Snura ni
mjamzito ndiyo sababu inayomfanya kutosikika vizuri kama mwanzo,Meneja
wake HK amezungumzia hili,baada ya Snura mwenyewe kutopatikana.
Wednesday, September 10, 2014
Home »
Maxwellpain.blogspot.com
» Snura mezani kwa Soudy Brown,kuhusu stori zinazosema kuwa ni mjamzito.
0 comments:
Post a Comment