Search This Blog

Monday, September 8, 2014

Hii Rekodi Mpya Aliyoweka Zlatan Imbrahimovic Nchini Kwao Sweden.

ibra 2 Mshambuliaji wa klabu ya PSG na timu ya taifa Ya Sweden Zlatan Imbrahimovic ameweka rekodi mpya na ya kipekee ya kuwa mfungaji bora wa wakati wote nchini Sweden baada ya kuifungia nchi yake mabao mawili katika mchezo wa kirafiki wa
kimataifa dhidi ya Estonia.
Rekodi hii ni yakuwa na magoli 50 kwenye mechi za kimataifa 99 alizocheza Zlatan. Aliyekuwa ameshikilia rekodi hii toka mwaka 1932 ni Sven Rydell mwenye magoli 49 kutoka kwenye mechi 43.
ibra

0 comments:

Post a Comment