Search This Blog

Monday, September 8, 2014

Picha,Drake Alivyokutana Na Neymar Na Marcelo Miami.

neymar 4
Wachezaji wa Brazil Neymar na Marcelo wamekutana na rapper Drake na kula bata kwa muda mfupi huko Miami. Drake ambaye yupo kwenye tour na Lil Wayne alionekana mwenye furaha kukutana na wanasoka hawa kutoka Brazil. Drake pia amepewa jezi ya Neymar ya Barcelona yenye namba 11 mgongoni.

neymar 1 neymar 2 neymar 3

0 comments:

Post a Comment