Mtandao wa record lebel ya Jay Z ‘Roc Nation’ umetoa taarifa kuwa rapper
Big Sean ndio msanii wao mpya aliyejiunga na record lebel hio.
Big Sean alikuwa member wa familia ya Good Music ya Kanye West ambayo
ndio iliyomtoa na alikuwa akisimamiwa na Kevin Liles kupitia KWL
Enterprises. Big Sean ametangaza kuhamia Roc Nation wiki
chache tuu
baada ya Meek Mil kutengana na kampuni hio na kwa sasa Big Sean
amejiunga kwenye usimamizi moja na wasanii kama Rihanna, Jay Z, Meek
Mil, Timbaland, Dj Mustard, Kanye West,Shakira na Melanie Fiona.
Friday, September 12, 2014
Home »
Maxwellpain.blogspot.com
» Rapper Big Sean Ajiunga Na Roc Nation Ya Jay Z Baada Ya Meek Mil Kujitoa.
0 comments:
Post a Comment