Baada
ya kufunga ndoa mnamo August 30, Star mkubwa wa filamu Gabrielle Union
na mume wake mcheza kikapu wa timu ya miami heats Dwayne Wade wamekuja
Tanzania kwaajili ya Fungate yao ya mwezi moja kama walivyotangaza
awali.
Wakiwa Tanzania wameweza kutembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti na kupata picha na wamasai wa huko.
Friday, September 12, 2014
Home »
Maxwellpain.blogspot.com
» Picha, Gabrielle Union Na Dwayne Wade Waja Tanzania Kwaajili Ya Honeymoon.
0 comments:
Post a Comment