Jumapili ya terehe 12 September 2014 msanii wa Regge na Ragga kutoka
Tanzania Dabo amefunga ndoa na Bi Zena ambaye wamekuwa wapenzi kwa muda
mrefu na wana mtoto mmoja wa kike. Harusi yao imefanyika kwenye ukimbi
wa Mamba jijini Dar es salaam.
Friday, September 19, 2014
Home »
Maxwellpain.blogspot.com
» Picha,Hongera Kwa Msanii Dabo Kwa Kufunga Ndoa.
0 comments:
Post a Comment