Search This Blog

Friday, September 19, 2014

Kituo Cha Radio Kilivyowatumia Chris Brown Na Game Kubadilisha Tabia Za Vijana Mitaani.

brown-gameMsanii wa Rnb Chris Brown na The Game  wametumiwa na kituo maarufu cha radio L.A. Marekani kwenye kampeni ya kupiga vita makundi ya wahuni yanayofanya uhalifu na kuvunja amani mitaani.Mastaa wengine watakao husishwa ni  Nick Cannon, Trey Songz, Tyga, na Jason Derulo.
Power 106 imetayarisha mchezo wa kikapu utakao wahusisha mastaa hao na vijana wa mitaani huku wakisambaza ujumbe wa vijana kufata na kutia juhudi katika kufanikisha ndoto zao. Wasanii hawa wametumika sababu waliwahi kuhusishwa na makundi ya fujo kama Chris Brown ambaye hivi karibuni alikoswa koswa na risasi na Suge Knight kupigwa risasi akiwa naye. The Game pia album yake mpya inaitwa  “Blood Money.”

0 comments:

Post a Comment