Caf imefikia uamuzi huo kufuatia matukio kadha yanayokiuka mustakabli wa kandanda yaliyotekelezwa na mashabiki wa ES Setif.
CAF ilitumia ripoti za maafisa wake katika mechi zilizoshirikisha Setif katika hatua za mchujo lakini haikudokeza matukio haswa.
0 comments:
Post a Comment