Search This Blog

Thursday, September 11, 2014

Usingizi ni noma… huyu jamaa wa Japan naye alitia fora.

Screen Shot 2014-09-11 at 6.39.05 AMScreen Shot 2014-09-11 at 6.39.05 AMUsingizi ni kitu kingine ambacho kinaweza kuwa kigumu kukizuia pale kinapotaka kuchukua nafasi yake, sio ajabu kukutana na mtu kasinzia kwenye daladala, ofisini au darasani ambao wengi tumewaona wakisinzia wamekaa ila huyu jamaa wa Japan ndio alitisha.

0 comments:

Post a Comment