Search This Blog

Thursday, September 11, 2014

Ulikua mbali na TV? nimeangalia bunge la katiba kwa niaba yako leo nikakuchukulia hii ya John Cheyo.

TV 2la katiba linaendelea na vikao vyake kwenye mjia wa Dodoma 104.4 ambapo leo miongoni mwa waliowasha vipaza sauti na kuongea ni pamoja na
Kingunge Ngombale Mwiru na John Cheyo ambae ndio tunae kwenye hii post akizungumzia ishu ya Rais
kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na kukubaliana nao kuitumia katiba ya zamani kwenye uchaguzi mkuu ujao lakini kwa kuifanyia baadhi ya marekebisho.

0 comments:

Post a Comment