Search This Blog

Friday, September 19, 2014

Scotland yakataa kujitenga

Scotland imefanya uamuzi wa mwisho kuwa itaendelea kubaki sehemu ya Uingereza , raia kwa pamoja wamekataa uhuru wa Scotland.
Maeneo 31 kati ya 32 wamepika kura ya HAPANA siku ya Alhamisi na kuongoza kwa kura 1,914,187 dhidi ya 1,539,920.
Ushindi huo ni asilimia 55 dhidi ya 45 waliokuwa wakiunga mkono hatua ya kujitenga.
Waziri Kiongozi wa Scotland Alex Salmond amesema ameridhia kuanguka katika mchakato wa kura ya maoni.
 Kuwa wakwanza kupata habari  popote pare basi jiunge nami like page yangu ya Facebook ijulikanayo kwa jina la Acontinuer.

0 comments:

Post a Comment