Kwa sasa DEMU yupo MUHIMBILI ICU kaumia vibaya sana na mchizi nae kavunjika MKONO wa kushoto sa sijui alikua anataka kulizuia NDINGA kwa mikono daaaah Mbwembwe hazifai. Bi mkubwa alipovutiwa waya alifika fasta eneo la tukio na alipoliona NDINGA lake lipo kwenye hali ya UCHAPATI CHAPATI aliangua kilio kama kafiwa na mumewe. Shuhudia picha jinsi ilivyokuwa..!
NB: Imewekwa kama ilivyotumwa na shuhuda eneo la tukio. Kwa taarifa kamili stay tuned mdau!
0 comments:
Post a Comment