Search This Blog

Wednesday, September 17, 2014

Picha,Huyu Ndio Jamaa Anayesema Atafunga Ndoa Na Dada Yake Diamond ‘Esma’

PETIMANI 2Meneja wa wasanii wa Endless Fame Petit Money ameweka wazikuwa taarifa zilizosamba ni za ukweli kuwa anamahusiano na dada yake Diamond Platnumz ‘Esma Platnumz’ .
Petit amesema ana mapenzi ya ukweli kwa Esma na kwamba anampango wa kufunga naye ndoa. Petit ameongozea kuwa mpaka sasa Diamond hana tatizo nae kuwa na dada yake.
Haya Mapenzi yatadumu ?

0 comments:

Post a Comment