Meneja wa wasanii wa Endless Fame Petit Money ameweka wazikuwa
taarifa zilizosamba ni za ukweli kuwa anamahusiano na dada yake Diamond
Platnumz ‘Esma Platnumz’ .
Petit amesema ana mapenzi ya ukweli kwa Esma na kwamba anampango wa
kufunga naye ndoa. Petit ameongozea kuwa mpaka sasa Diamond hana tatizo
nae kuwa na dada yake.
Haya Mapenzi yatadumu ?
Wednesday, September 17, 2014
Home »
Maxwellpain.blogspot.com
» Picha,Huyu Ndio Jamaa Anayesema Atafunga Ndoa Na Dada Yake Diamond ‘Esma’
0 comments:
Post a Comment