Search This Blog

Friday, September 12, 2014

NI KWELI JUX AMEMUIMBIA VANESSA MDEE KATIKA WIMBO WAKE MPYA?! AFUNGUKA KIIVI!

Mwanamuziki wa Bongo Flava Jux Amezikana Tetesi kuwa Wimbo wake Mpya 'Sisikii' amemuimbia Vanessa Mdee ambaye inasemekana kwa sasa ni Wapenzi. Jux Ameiambia blog hii kuwa Nyimbo zake zote alizowahi kuzitoa sio maalum kwa ajili ya mtu bali amezitunga tu na hazihusiani na Maisha yake.

Ikumbukwe pia wimbo Nitasubiri kulikuwa na Tetesi kuwa Amemuandikia Jack Cliff ambae yupo Jela Huko Macau, China!

0 comments:

Post a Comment