Search This Blog

Monday, September 8, 2014

Mchakato wa kumtafuta super nyota diva kutoka shinyanga umekamilika leo

Mchakato wa kumtafuta super nyota diva kutoka shinyanga umekamilika leo hii katika club inayoitwa Butiama iliyoko shinyanga na kumpata atakaewakilisha mkoa huo ambae ni Amina Issa. 
Shughuli hiyo imekamilishwa na majaji watatu ambao ni fetty, Dj hunter (mtangazaji wa Faraja Fm) na Chuse (producer, this is one records)
Amina atajiunga na washindi wenzake kutoka sehem mbali mbali jijini dar kwa ajili ya kukamilisha fainali na mshindi kufanya collable na diamond pamoja na recording zaidi.
Amina ambaye ni mshindi...







0 comments:

Post a Comment