Search This Blog

Monday, September 8, 2014

HATIMAYE PROFESA JAY AFUNGUKA KUHUSU MWANAMKE ATAKAYEMUOA! MFAHAMU HAPA...!

Miongoni mwa manguli wa muziki wa Bongo Fleva Profesa Jay ambaye pia yuko kwenye list ya mastar walioufanya muziki wa Tanzania kupata nafasi ya kukubalika na kuheshimika.

Profesa Jay ambaye ni baba wa mtoto Lissa amekubali kuongea na Soudy Brown kuhusu mwanamke anayetegemea kumuoa kwa siku za usoni na kusema kuwa kama Mungu atajaaliwa anategemea kumuoa Mama Lissa ambaye ni mzazi mwenzake.

0 comments:

Post a Comment