Search This Blog

Friday, September 12, 2014

HABARI PICHAZ: AJALI NYINGINE SINGIDA, YADAIWA MTU MMOJA AMEPOTEZA UHAI.


TAARIFA ZA AWALI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE: (Pichani Juu) Lori aina ya Scania likiwa limeharibika baada kupata ajali kwa kuligonga lori lingine kwa nyuma lililosimama ghafla kwenye tuta katika Kijiji cha Isuna, Barabara ya Singida-Dodoma . Inadaiwa dereva wa lori hilo alikufa!

0 comments:

Post a Comment