Search This Blog

Saturday, August 30, 2014

Uliona alichopost msanii Tunda Man kuhusu Edward Lowassa? kiko hapa

Screen Shot 2014-08-11 at 5.42.21 AMKutana na ya moyoni mwa Tunda Man, staa wa bongofleva kutokea kundi la Tiptop Connection ambapo amepost picha kadhaa na maelezo yake kwenye mtandao wa instagram.
Ya kwanza ni hiyo hapo juu akiwa kasimama mbele ya mabango yanayomuhusu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa anaetajwa sana kuhusu Urais wa Tanzania 2015 ambapo kwenye maelezo ya hiyo picha Tunda Man aliandika ‘fotmation yetu ni 4-4-2′

0 comments:

Post a Comment