Search This Blog

Saturday, August 30, 2014

Sababu inayosemekana ya Babu Tale kumsimamia Shilole kikazi kwa sasa ni hii.

shilole1Manager wa Tip Top Connection na Diamond Platnumz Babu Tale inasemekana anamsimamia kwa sasa Shilole kama msanii wake kwa kile ambacho kimeelezwa na Soudy Brown kuwa deni alilokua anadaiwa Shilole.
Deni ambalo linasemwa kuwa Babu Tale alilipa ni la gari ambalo alikua akidaiwa Shilole hivyo wakakubaliana kuwa watakua wakikatana kwenye show tofauti mpaka deni hilo litakapoisha.Habari hii inaendelea page news

0 comments:

Post a Comment