Search This Blog

Thursday, August 28, 2014

Huyu Rapper Aliyejisalimisha Polisi Na Makosa Anayokabiliwa Nayo.

jbRapper Joe Budden ameripotiwa kujisalimisha kwenye kituo kimoja cha polisi cha New York.Hii imethibitishwa na post ya twitter ya kituo cha polisi kuwa rapper
Joe Budden amejisalimisha baada ya kutangazwa kuwa anatafutwa na polisi kwa kosa la Unyanganyaji. Joe anakabiliwa na kosa la kumpokonya binti mwenye miaka 25 simu yake ya mkononi mnamo August 18. Taarifa zingine za kukamatwa kwa Joe Budden zinahusishwa na kumpiga msichana aliyekuwa mpenzi wake na kumsababishia majeraha. Hii ndio ilikuwa stori yake> Joe

0 comments:

Post a Comment