Ule mchakato wa kutafuta wasanii wa kike wenye uwezo na kipaji cha
kuimba au kuchana, Super Nyota Diva, umefanyika mkoani Moshi na mshindi
amepatikana
Super Nyota Diva imefanyika katika ukumbi wa Club Aventure ambapo licha
ya kuwa na washiriki wachache waliojitokeza, vipaji vyao ni vikubwa
sana.
Kama ambavyo nilitegemea, kulikuwa na wale ambao wanafanya hiphop na
kuimba pia, naushindani ulikuwa ni mkubwa pamoja na kuwa ni wachache.
Siamerry ndio Super Diva anaewakilisha Moshi, anafanya hiphop na ndio
iliyompelekea kushinda kwake, ana uandishi mzuri wa mistari na flow
iliyoshiba. Siamerry ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili (UDOM)
Majaji ni Kenoo ambae ni producer kutoka Black Market Music Production na Fetty
0 comments:
Post a Comment