Search This Blog

Wednesday, August 27, 2014

IMG_6758.JPGMshambuliaji wa zamani wa klabu ya FC Barcelona na Chelsea Samuel Eto’o amekamilisha usajili wa kujiunga na Klabu ya Everton pamoja na kwamba alikuwa akikaribia kujiunga na Liverpool.
Everton amesaini mkataba wa miaka miwili ambapo nahodha huyu wa timu ya taifa ya Cameroon ameripotiwa kusononeshwa na uhamisho wake kwenda Liverpool kufeli wakati akiwa tayari alishafanya mpaka vipimo vya afya.
kwenye sentensi nyingini ni kwamba Eto’o anatarajiwa kuanza kuichezea Everton weekend hii kwa mechi dhidi ya Chelsea ambayo aliitumikia msimu uliopita.

0 comments:

Post a Comment