Friday, August 29, 2014
Home »
» Alichojibu Ronaldo kuhusu Di Maria kujiunga na Man Utd na kupewa jezi namba 7
Alichojibu Ronaldo kuhusu Di Maria kujiunga na Man Utd na kupewa jezi namba 7
Siku
moja baada ya Angel Di Maria kutambulishwa rasmi kama mchezaji wa klabu
ya Manchester United ya England huku akikabidhiwa jezi yenye historia
kubwa ndani ya klabu hiyo (namba 7), mwanasoka bora wa ulaya na mchezaji
wa zamani wa United, Cristiano Ronaldo amezungumza juu ya Di Maria
kwenda Old Trafford pamoja na kupewa jezi namba 7. Habari hii inaendelea page news
0 comments:
Post a Comment