Search This Blog

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Sunday, August 31, 2014

Post Ya Shakira Kuhusu Mtoto Wa Pili Na Gerard Wa Barcelona

shakira 2Shakira na Gerard Pique wametangaza rasmi kuwa wanategemea mtoto wa pili kwenye familia yao. Msanii huyu kutoka Colombia ametangaza

Update,Hii Tarehe Ya Kutoka Ya Cd Ya Nicki Minaj’Pink Print’

nicki-minaj-the-pinkprintNicki Minaj ametangaza tarehe ya kutoka kwa album yake mpya “The Pinkprint” ambayo itakuwa November 28 2014 kwa mujibu wa Bilboard.com.Album hii nimuendelezo wa album yake ya mwaka 2013 Pink Friday :Roman Reloaded

Huyu ndio mshindi wa Super Nyota Diva kutoka Moshi

Ule mchakato wa kutafuta wasanii wa kike wenye uwezo na kipaji cha kuimba au kuchana, Super Nyota Diva, umefanyika mkoani Moshi na mshindi amepatikana 
Super Nyota Diva imefanyika katika ukumbi wa Club Aventure ambapo licha ya kuwa na washiriki wachache waliojitokeza, vipaji vyao ni vikubwa sana. 
Kama ambavyo nilitegemea, kulikuwa na wale ambao wanafanya hiphop na kuimba pia, naushindani ulikuwa ni mkubwa pamoja na kuwa ni wachache.

Saturday, August 30, 2014

Nay Wa Mitego - Mr Nay (Official Video)

Home » stori kubwa » Uliipata hii ya Wanafunzi Kenya kupelekwa Mahakamani baada ya kukutwa wamelewa? Uliipata hii ya Wanafunzi Kenya kupelekwa Mahakamani baada ya kukutwa wamelewa?

Screen Shot 2014-08-21 at 12.28.31 PMSio kitu kigeni kuona watu wenye umri zaidi ya miaka 18 wanakunywa Pombe wanalewa na hata pombe hiyo kugharimu maisha yao ila sio kawaida kukutana ama kuona mtoto wa miaka kati ya 14-17 ni mlevi wa kupindukia na mtumiaji pia wa dawa za kulevya.
Ripoti mpya iliyotolewa na Mamlaka ya kudhibiti vileo nchini Kenya (NACADA) inaonyesha kwamba ni watoto zaidi ya MILIONI MOJA nchini humo wenye umri kati ya miaka 14-17 ambao ni watumiaji wakubwa wa pombe na dawa za kulevya.
Kenya Julius Kepkoech amesema mwenyekiti wa NACADA John Mututho ameisema hii wakati alipowatembelea Wanafunzi 16 waliokamatwa wakiwa wamelewa mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo sasa wamefikishwa kwenye Mahakama ya Baricho.
Screen Shot 2014-08-21 at 12.30.15 PMHakimu mkuu wa Baricho Hezekiah Keago ameamuru Wanafunzi hao baadhi kurudishwa mikononi mwa wazazi ili kufanyiwa ushauri nasaha lakini pia vilevile Wanafunzi wengine waliobakia kati ya hao wamehukumiwa kwenda jela ya Watoto Muranga.
Ushahidi uliotolewa Mahakamani umeonyesha kwamba hawa Wanafunzi ambao wamekamatwa kwa ishu ya pombe, walihusika kuinywa pia pombe iliyopigwa marufuku nchini Kenya ambayo ina kemikali hatari kwa afya na iliua zaidi ya watu mia moja.

Iyanya - Away [Official VEVO Video]

Diamond Platnumz feat. Iyanya - Bum Bum (Official Video)

Maneno ya Rais Kikwete kuhusu ‘Urais’ wa January Makamba @JMakamba

Ifuatayo ni kauli ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa Bumbuli Tanga kuhusu Naibu waziri ambae pia ni mbunge wa Bumbuli January Makamba.
Amenukuliwa akisema >>> ‘January anafanya kazi nzuri ya ubunge pia ananisaidia sana kwa kazi ya wizara niliyompa, unajua January alipogombea Ubunge alinificha nilikuwa nasikia kwa wenzake tu pale ofisini, baadae alivyoweka mambo yake sawa ndio akaja kuniambia kwamba Mzee na Mimi najitosa’
Screen Shot 2014-07-11 at 9.14.30 AM
Add caption
‘Nikamtakia heri… kwa kweli kwa jinsi anavyohangaika na Jimbo lake inaonyesha Ubunge aliutaka kwa dhati kabisa ya kusaidia watu wa Bumbuli, nimesikia anafikiria mambo makubwa… hajaniambia mi nimesikia tu, namtakia kila la heri…. haya mambo anaamua Mungu wala hayalazimishwi’

Screen Shot 2014-07-11 at 8.53.32 AM
Add caption
‘Mungu akitaka linakuwa hata kama watu wote hawataki, Mungu akiwa hataki hata kama mtu ukitaka jambo hilo vipi haliwezi kuwa, mimi nilishauriwa na Mzee mmoja kwamba jambo likifika wakati wake utalipata hata kama utapingwa kiasi gani, kama halijafika wakati wake haliwezi kutokea, mimi niligombea 1995 sikupata kwasababu haikuwa wakati wake…. 2005 ikawa wakati wake nikapata, na wewe usipopata sasa usiweke nongwa” – JK
Hapa chini kuna video ya dakika 3 ikionyesha sehemu ya kazi zake Naibu waziri huyu ambae pia ni Mbunge wa Bumbuli kupitia CCM.

Uliona alichopost msanii Tunda Man kuhusu Edward Lowassa? kiko hapa

Screen Shot 2014-08-11 at 5.42.21 AMKutana na ya moyoni mwa Tunda Man, staa wa bongofleva kutokea kundi la Tiptop Connection ambapo amepost picha kadhaa na maelezo yake kwenye mtandao wa instagram.
Ya kwanza ni hiyo hapo juu akiwa kasimama mbele ya mabango yanayomuhusu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa anaetajwa sana kuhusu Urais wa Tanzania 2015 ambapo kwenye maelezo ya hiyo picha Tunda Man aliandika ‘fotmation yetu ni 4-4-2′

Sababu inayosemekana ya Babu Tale kumsimamia Shilole kikazi kwa sasa ni hii.

shilole1Manager wa Tip Top Connection na Diamond Platnumz Babu Tale inasemekana anamsimamia kwa sasa Shilole kama msanii wake kwa kile ambacho kimeelezwa na Soudy Brown kuwa deni alilokua anadaiwa Shilole.
Deni ambalo linasemwa kuwa Babu Tale alilipa ni la gari ambalo alikua akidaiwa Shilole hivyo wakakubaliana kuwa watakua wakikatana kwenye show tofauti mpaka deni hilo litakapoisha.Habari hii inaendelea page news

PSquare - Ejeajo [Official Video] ft. T.I.

Friday, August 29, 2014

Shinji Kagawa njiani kuondoka Man United – hii ndio klabu anayoenda

1409307188735_wps_2_File_photo_of_Manchester_
Wakati wa utambulisho rasmi wa Angel Di Maria jana, kocha qa man United Louis Van Gaal alithibitishqa kwamba kuna kundi la wachezaji litaondoka mpaka kufikia mwishoni mwa wiki hii. Inaendelea page news

Alichojibu Ronaldo kuhusu Di Maria kujiunga na Man Utd na kupewa jezi namba 7

cristiano-ronaldo-angel-di-maria-2010-12-22-18-10-9Siku moja baada ya Angel Di Maria kutambulishwa rasmi kama mchezaji wa klabu ya Manchester United ya England huku akikabidhiwa jezi yenye historia kubwa ndani ya klabu hiyo (namba 7), mwanasoka bora wa ulaya na mchezaji wa zamani wa United, Cristiano Ronaldo amezungumza juu ya Di Maria kwenda Old Trafford pamoja na kupewa jezi namba 7. Habari hii inaendelea page news

Je Toni Kroos ndio kamkimbiza Alonso Madrid? Xab Alonso ajibu.

Kiungo wa kimataifa wa Spain  Xabi Alonso amejiunga na klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani akitokea kwa mabingwa wa ulaya Real Madrid kwa ada ya uhamisho wa paundi millioni 5. Alonso ambaye alijunga na Real Madrid akitokea Liverpool ametambulishwa... Habari hii inaendelea katika page news

Boss wa TBS aliyehukumiwa kwenda jela miaka mitatu.

Screen Shot 2014-08-29 at 8.32.31 AMMahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Dar es Salaam August 28 2014 imetoa hukumu kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Viwango Tanzania (TBS) Charles Ekerege kifungo cha miaka 3 jela.Habari hii inaendelea kwenye page news

Thursday, August 28, 2014

Huyu Rapper Aliyejisalimisha Polisi Na Makosa Anayokabiliwa Nayo.

jbRapper Joe Budden ameripotiwa kujisalimisha kwenye kituo kimoja cha polisi cha New York.Hii imethibitishwa na post ya twitter ya kituo cha polisi kuwa rapper
Joe Budden amejisalimisha baada ya kutangazwa kuwa anatafutwa na polisi kwa kosa la Unyanganyaji. Joe anakabiliwa na kosa la kumpokonya binti mwenye miaka 25 simu yake ya mkononi mnamo August 18. Taarifa zingine za kukamatwa kwa Joe Budden zinahusishwa na kumpiga msichana aliyekuwa mpenzi wake na kumsababishia majeraha. Hii ndio ilikuwa stori yake> Joe

Kinachosemekana kutoka kwa Jokate na Ommy Dimpoz kwa sasa #LOVE

jokate_mwegeloSijui kama ni time ya mastar wa Tanzania kuamua kuonyesha wazi mapenzi yao kwa mastar wenzao,hii ni kutoka kwenye meza ya Soudy Brown ambapo kuna stori zimetoka kuhusu uhusiano wa kimapenzi kati ya Jokate na Ommy Dimpoz. Habari hii inaendelea katika page ya udaku

#Breaking News:Emmanuel Okwi arudi Simba.

Okwi-EmmaEmmanel Okwi ameamua kurejea katika timu yake ya zamani ya Simba Sports Club,Emanuel Okwi ambaye ni raia wa Uganda rasmi leo amesaini kujiunga na Simba baada ya kuelewana na uongozi wa klabu hiyo.
Emanuel Okwi amechukua maamuzi ya kusaini kucheza timu ya Simba baada ya Yanga kumuacha.

Good news!! hivi ndivyo makundi ya Champions League yalivyopangwa

IMG_6821.JPGHatimaye ligi ya mabingwa wa Ulaya imeanza kwa kupangwa kwa makundi ya michuano hiyo ambapo tukio la upangwaji wa makundi haya umefanyika kwenye jiji la Monaco, Ufaransa na mpango wote ndio umekua hivi. Habari hii inaendelea katika page News

Wednesday, August 27, 2014

NEIL WARNOCK MENEJA MPYA CRYSTAL PALACE


Crystal Palace wamemteua Neil Warnock, 65, kuwa meneja mpya. Warnock ambaye aliwahi kuifundisha Palace kati ya mwaka 2007 na 2010, amesaini mkataba wa miaka miwili. Tony Pulis aliyekuwa meneja wa Palace, aliachia ngazi Agosti 14 mwaka huu, saa 48 kabla ya kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu ya England.

Baada ya wawili kufa kwa Ebola Congo DRC, Mkuu wa mkoa Kigoma ametoa hii

Taarifa zilizotoka saa kadhaa zilizopita zilionyesha kwamba kati ya Wagonjwa nane waliokutwa na Ebola huko Congo DRC, wawili kati yao wamefariki dunia.
Screen Shot 2014-08-27 at 8.40.36 AMTaarifa hizi zimeendelea kuwashtua na kuwafanya majirani kuzingatia tahadhari ambapo mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya amesema ‘pamoja na tishio la ugonjwa huu kwamba uko DRC Congo lakini DRC ya mbali sana kule kaskazini wanakopakana na Afrika ya kati na Sudan, tumeanza kuchukua tahadhari kwenye mipaka yetu manake binadamu wanatembea na maingiliano ni makubwa’
‘Kuanzia leo nimemuagiza katibu tawala wa mkoa magari yote yenye uwezo wa kubeba vipaza sauti usiku au jioni watu wamesharudi nyumbani yapite kutangazia Wananchi kwa muda wa siku tatu mfululizo licha ya kuweka vipeperushi’ – Machibya.
John Ndunguru ambae ni katibu tawala wa mkoa amesema ‘Kwenye hospitali zetu wameshatenga chumba maalum kama atatokea mgonjwa yeyote manake inabidi Wagonjwa hawa wawekewe kinga au wigo kwa siku 48, vilevile wizara ya Afya imeahidi kutuletea vifaa vya kutosha hasa vya kinga na dawa mbalimbali, tayari maafisa Afya wako hata uwanja wa ndege kukagua kila anaeingia’

New Video: Bob Junior - Bolingo _Directed by Khalfani (Official Video)

New Video: Usher - She Came To Give It To You ft. Nicki Minaj

IMG_6758.JPGMshambuliaji wa zamani wa klabu ya FC Barcelona na Chelsea Samuel Eto’o amekamilisha usajili wa kujiunga na Klabu ya Everton pamoja na kwamba alikuwa akikaribia kujiunga na Liverpool.
Everton amesaini mkataba wa miaka miwili ambapo nahodha huyu wa timu ya taifa ya Cameroon ameripotiwa kusononeshwa na uhamisho wake kwenda Liverpool kufeli wakati akiwa tayari alishafanya mpaka vipimo vya afya.
kwenye sentensi nyingini ni kwamba Eto’o anatarajiwa kuanza kuichezea Everton weekend hii kwa mechi dhidi ya Chelsea ambayo aliitumikia msimu uliopita.

Abiria wahangaika mgomo wa Tazara ukianza

Mgomo wa wafanyikazi wa Tazara wawahangaisha abiria
Sehemu kubwa ya wafanyakazi wa mamlaka ya reli ya Tanzania na Zambia TAZARA Stesheni ya Mbeya nchini Tanzania, wamegoma kufanya kazi tangu leo asubuhi.
Mgomo huo ambao wenyewe wameuita kuwa ni mgomo baridi umesababishwa na mamlaka hiyo kushindwa kuwalipa mishahara yao kwa miezi mitano sasa.
Kwa majibu wa mwandishi wa BBC Baruan Muhuza ambaye yupo safarini kuelekea Kapiri Mposhi Zambia akitumia train ya TAZARA, mgomo huo umesababishwa kukwama kwa train hiyo kuendelea na safari yake hadi kufikia jioni hii.
MSIMAMO WAO
Amesema train ya abiria kutoka Dar es Salaam ilifika mjini Mbeya saa 4.30 asubuhi na hapo wafanyakazi hao waliipokea train hiyo kwa wimbo wa Solidarity forever.
Wafanyakazi hao wameiambia BBC kuwa wanailalamikia Serikali ya Tanzania kwa kuwapuuza madai yao huku serikali ya Zambia ikiwalipa wenzao wa upande wa pili.
Kwa muda mrefu TAZARA imekuwa katika kipindi kigumu cha uendeshaji wa shughuli zake kutokana na kukosa ruzuku ya serikali zote mbili.
Wafanyikazi wanasema kuwa hawajalipwa mishahara yao miezi 5 sasa
Baada ya mivutano na mikakati ya kuboresha shughuli za kabiashara ya mamlaka hiyo, iliamuliwa kuwa kila nchi iendeshe train yake na iishie mpakani kwenye miji midogo ya Tunduma (Tanzania) na Nakonde (Zambia).
TRENI KUISHIA MPAKANI
Mpango huo ndiyo kwanza umeanza kwa train ya abiria iliyoondoka jana Jumanne Dar es Salaam na nyingine ikitoka New Kapiri Mposhi na zitakutana mpakani baadae leo jioni.
Kwa mpango huo wasafiri wanaokwenda upande wa pili wa nchi nyingine watalazimika kushuka na kuingia kwenye train nyingine.
BBC inafuatilia kuona mchakato wa kuhamisha wasafiri hao utakavyokuwa, kwa kuzingatia miongoni mwa wanaosafiri kuna watoto, wazee vikongwe, wajawazito, Lakini pia kunakuwa na walemavu na wenye mizigo mingi.

Saturday, August 23, 2014

KILI MUSIC AWARDS 2014 ILIVYOKUWA